Msemaji wa Yanga SC, Haji Manara ametia neno kwa Klabu ya SIMBA kukutana na Orlando Pirates

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msemaji wa Yanga SC, Haji Manara ametia neno kwa Klabu ya Simba SC kutoka Tanzania kukutana na Orlando Pirates katika kombe la shirikisho barani Afrika. Manara alitia neno kupitia uwanja wa maoni kwenye post ya Instagram ya Orlando Pirates ya ratiba ya klabu hiyo kukutana na Simba SC kwenye michuano hiyo.




"Wananchi wenzenu mtatukuta huku huku,,Njoooni Wanaume @orlandopirates Vivaaaaaaa" Aliandika Haji Manara. Ratiba hii ya Wekundu wa Msimbaji kukutana na klabu hiyo ya Afrika Kusini ilipangika baada ya droo ya Robo Fainali ya Michuano hiyo iliyochezeshwa leo April 04.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad