Alichokisema Diwani Mutta Rwakatare kuhusu kupotea kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Diwani wa Kata ya Kawe, jijini Dar es Salaam, Mutta Rwakatare, amesema kwamba kupotea kwake kulishatolewa ufafanuzi na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, na kwamba hayo ni masuala ya kiafya sio vizuri kuyazungumzia.


Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 2, 2022, wakati akizungumza kwenye kipindi cha WeekendBreakfast ya East Africa Radio.


‎"I think my loss, the head of the region explained and I spoke, so there's no need to develop it, the health issue is not good to talk about, when you have people it's a very big capital that's why I love it," he said.‎amesema Diwani Mutta


Diwani Rwakatare alipotea kwa takribani miezi mitatu na baadaye alipatikana maeneo ya Tabata kwa mwanamke mmoja aitwaye Ashura.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad