Mayele Ana Thamani zaidi Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya klabu ya Yanga, Eng.Hersi Said amemtaja mshambuliaji Fiston Mayele kuwa mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi kwenye Ligi Kuu NBC Tanzania iliyomalizika msimu wa mwaka 2021-2022.

Akizungumza na EATV, Eng.Hersi amesema  ubora na uwezo mkubwa aliounyesha Mayele umemfanya ajijengee umaarufu mkubwa kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini.


“Mayele ni mchezaji mzuri hata ubingwa huu umechangiwa na juhudi zake katika timu yetu, hivyo hakuna mchezaji yoyote wa kulinganishwa na straika huyo'' amesema Mjumbe huyo wa Kamati ya Mashindano ya Yanga Eng.Hersi Said.


Yanga ambao ni mabingwa wapya wa Ligi kuu msimu 2021 – 2022 huku Ligi kuu soka Tanzania Bara itarajiwa kuanza Agosti 17 mwaka huu na kumalizika Mei 27 ,2023

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad