Baada ya Kujitangaza Kuwa ni Bikira REMA Aanza Kulisaka Penzi la Mrembo Terms

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kujitangaza kuwa yeye ni Bikra, msanii REMA (21) ameendelea kumake headlines kwenye social networks baada ya kubadili Display Picture (DP) Yake ya Twitter kwa kuweka picha ya mrembo Temsbaby huku akimsifu kwa uzuri alionao. “Tems fine as f***k”

Je, ni kweli Rema amedhamiria kujiweka kwa Tems au miyeyusho, bado Rema hajaweka wazi kwa asilimia zote japo ameendelea kutweet kuwa hafanyi hivyo kumkosea mtu heshima na amebaki kuwa kama shabiki kwa kile anacho tweet kwenye account yake ya twitter.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad