AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume mmoja raia wa Afrika Kusini ameweka historia baada ya kuwasili katika mji mtakatifu wa Kiislamu, Mecca, kwa miguu.
Saheed alisema kuwa alianza safari yake ya kuelekea nchi takatifu kutoka jijini Cape Town nchini Afrika Kusini mnamo Agosti 2018.
Saheed alisema kuwa alianza safari yake ya kuelekea nchi takatifu kutoka jijini Cape Town nchini Afrika Kusini mnamo Agosti 2018.
Saheed alisema kuwa alianza safari yake ya kuelekea nchi takatifu kutoka jijini Cape Town nchini Afrika Kusini mnamo Agosti 2018.
Alipitia Zimbabwe, Tanzania, Kenya, Sudan, Misri na Palestina ambapo alikaa baada ya mpaka kufungwa kutokana na mlipuko wa janga la COVID-19 ambalo lilimlazimu kusitisha safari yake.
Kulingana naye, alikaa Palestina kwa muda wa mwaka mmoja na miezi minane huku akisubiri kufunguliwa kwa mpaka, na punde ilipofunguliwa aliendelea na safari yake.
Alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuwasili Saudi Arabia, Saheed alisema yuko Mecca kwa ajili ya Hijja na baada ya hapo ataanza safari yake ya kurejea nchi yake tena kwa miguu.
Mnigeria aendesha pikipiki kutoka Uingereza hadi Nigeria
Katika taarifa nyingine sawia na hiyo, mwanamume wa Nigeria, aliyetambulika kwa jina Kunle Adeyanju, aligonga vichwa vya habari vya kuendesha pikipiki kutoka London, Uingereza hadi Lagos, Nigeria ili kueneza kampeni dhidi ya Polio.
Kunle alianza safari Jumanne, Aprili 19, na amekuwa akishiriki picha za kila siku kuhusu safari yake kwenye mitandao ya kijamii.
Alifichua kuwa alipitia Ufaransa, Uhispania, Gilbraltar, Morocco, Sahara Magharibi, Mauritania, St Louis, Senegal, Gambia, Mali, Cote d'Ivoire, Ghana,Togo, Benin na kisha Lagos.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK