Hatiamye Mume wa Rappa Nicki Minaj Amehukumiwa Kifungo cha Miaka Mitatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Hatiamye mume wa rappa Nicki Minaj, Kenneth Petty (44) amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu chini ya Uangalizi wa Mahakama pamoja na Kifungo cha nyumbani mwaka mmoja.


Hukumu hiyo imetolewa baada ya Petty kukiri kushindwa kujisajili kama mkosaji Kingono (Sex Offender) baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka msichana wa miaka 16 mwaka 1995 , ambapo mwaka 2020 alihitajika kujisajili kama mkosaji wa Kingono.


Pia Mahakama imemtaka alipe faini ya $55,000 ambazo ni takribani Shilingi Milioni 128 za Kitanzania.


Nicki na Petty ambao kwasasa wanaishi huko California, mwaka 2020 walibahatika kupata mtoto wao wa kwanza Wakiume.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad