AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
The African Princess Nandy amefanyiwa surprise ya kupewa hundi ya benki yenye thamani ya Tsh Milioni 106 kama kianzio cha maisha yake mapya ya ndoa na mume wake mtarajiwa Billnass.
Tukio hilo limefanyika kwenye Send Off Party yake jana usiku ikiwa imeuhudhuriwa na mastaa na wageni wengine waalikwa.
Billnass na Nandy watafunga ndoa siku ya kesho Jumamosi pia wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza siku zijazo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK