Mwanamuziki wa Nigeria Burna Boy Anaumizwa na Mapenzi, Awakosea Wanaocheza na Kufurahi Wimbo Wake Mpya wa Last Last"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki wa Nigeria Burna Boy amejitokeza kukosoa mashabiki zake kwa jinsi wamepokea wimbo wake uitwao “Last Last”. Burna alifanya ufafanuzi huo kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa Tik Tok ambapo alisema watu wanafurahia wakichezea wimbo huo ilhali ni wa kuvunjika moyo kutokana na mapenzi.


Huenda mwanamuziki huyo anapitia wakati mgumu kuhusiana na maswala ya mapenzi na kusababisha aandike na kuimba wimbo huo. Mwezi Januari mwaka huu alisema kwamba hataki tena kuwa na hisia kama binadamu na alikuwa tayari kulipa kiasi chochote cha fedha kwa yeyote ambaye angesaidia kumwondolea hisia.


Lawama zake ziliambatanishwa na tukio la mwanamuziki huyo kuachana na mpenzi wake Stefflon Don ambaye pia ni mwanamuziki wa nchini Uingereza. Uvumi kuhusu kutengana kwa wawili hao ulisheheni mitandaoni mwezi Disemba mwaka 2021 na siku chache baadaye Burna Boy akathibitisha kupitia Instagram ambapo aliandika kwamba yeye hana mke.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad