Shaffih Dauda Aukubali Mziki wa George Mpole "Anastahili Kuchagiwa na Mimi Namuongezea Milioni Moja"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ameandika haya Mchambuzi Mkubwa wa Michezo Tanzania Shaffih Dauda:

"NAMPATIA MILLION MOJA GEORGE MPOLE

One of our own, ndio lugha sahihi zaidi kuweza kuitumia ndio mtoto wa Tanzania ambaye anasaka rizk yake kupitia mpira wa miguu, amebeba kiatu akitokea Geita Gold

One of our own, ndio neno sahihi kulitumia hapa! Ndio safari hii sio Simba, sio Yanga wala sio Azam ni kanda ya ziwa imetuletea Mfungaji bora akiwa na mabao 17, i like it

One of our won, a boy from the streets of Mbeya! Amekata kamba za kila aina kutoka kwenye zile zinazotambulika timu ndogo, kutoka kwenye timu ambazo wachezaji wake wengi ni wazawa

One of our own, ni mstari sahihi kuutumia! Ndio John Bocco amewahi kufanya, lakini hata yeye atakubaliana na Waandishi kuwa sio rahisi kufanya hivyo kwenye timu nje na tatu, lakini George amefanya

One of our own, ndio ni wetu! Ijapo watu watasema mbona Aiyee alifanya, mbona Mohamed Rashid alifanya! Lakini msisahau IDEAS ARE PRIMARY, AND MATTER IS DERIVATIVE OF IDEAS, wazo limekuja sasa ni lazima litekelezwe sasa, kwakuwa nyakati zinabadilika

Mdogo wangu @alikamwe na Waandishi wa michezo walikuja na wazo la kumpa Million moja kijana, ni sahihi sana! Hii itawaamsha watoto kutoka Iwambi, Mbeya au Rorya kule Mara, Chitohori kule Mtwara au Matombo, Morogoro kuwa hata ninyi mnaweza

One of our own, watu tu hawajiulizi iliwezekana vipi Raheem Sterling kununuliwa bei ghali pale Manchester City kuliko Kun Aguero, hawajiulizi kwanini Ahly ni ngumu kutoboa mgeni, simply ni kuwa their own need to be their priority

Nawapongeza wafungaji 10 bora wote, nawapongeza pasi na ubaguzi wowote ila @officiall_georgempole defied the odds just from the pitch of Nyankumbu

Nampa MILLION MOJA yake kama DIGALA na naamini Waandishi na Wadau watampatia MILLION MOJA yake nyingine

#TheFuture" Dauda
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad