Hatimaye Msanii Aslay Ametangaza Rasmi Kujiunga na Lebo kubwa Afrika ya Rockstar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hatimaye msanii @aslayisihaka ametangaza rasmi kujiunga na lebo kubwa Afrika ya Rockstar ambapo ameeleza amejiunga hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Aslay ambaye amewahi kutamba na hits nyingi ndani na nje ya nchi, ameandika..

"Ninafuraha kuwaambia Mashabiki, Vyombo vya habari na kila anayenifuatilia kwamba hivi karibuni nimejiunga na RockStar Africa @rockstarafrica. Imekuwa safari ndefu yenye matumaini makubwa katika kusimamia kazi zangu za muziki. Hivyo basi, Nawaarifu kutegemea mengi makubwa katika muziki wangu na kuniona katika hatua kubwa zaidi.

Nina kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kipindi chote ambacho nilikuwa kimya, hakika nimejifunza Mengi🙏🏽. Ningependa kuchukua wakati huu Pia kutoa shukrani zangu kwa kila mmoja wenu kwa support mnayoendelea kunipa katika muziki wangu hata wakati nilipokuwa kimya. Asanteni sana🙏🏽❤️" - unasomeka ujumbe wa @aslayisihaka

Umeikumbuka ladha ya muziki mzuri toka kwa Aslay? andaa masikio yako.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad