Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Limetangaza Nafasi za Kujiunga na Jeshi Hilo kwa Kujitolea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Tawi la Utawala JKT Brigedia Jenerali Hassan Mabena

JESHI la Kujenga Taifa (JKT) kupitia kwa Mkuu wa Tawi la Utawala JKT Brigedia Jenerali Hassan Mabena limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa kujitolea.

Brigedia Jenerali Mabena amesema zoezi la kutuma maombi linaanza rasmi leo Agosti 25, 2022 na litaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Wilaya na Mikoa ya waombaji husika.

Aidha amebainisha kuwa Jeshi hilo halitoi ajira na wala halitahusika kuwatafutia vijana ajira kwa wale watakaofanikiwa kupata fursa ya kujiunga kujitolea katika Jeshi hilo

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad