Mwanamuziki Mayunga Aiponda Mikataba ya Sony Music na Universal Music Wanayopewa Wanamuziki wa Kibongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongo Flava, Mayunga ambaye kwasasa anafanya poa na wimbo wa DUYUWANNA na Frida Amani, amegusia namna alivyo achana na Label ya Universal Music na kuamua kupush kazi zake mwenyewe. Akiwa kwenye Empire ya EFM, ameeleza kuwa mkataba haukuwa rafiki kwenye kazi zake, hivyo aka9na ni bora hauvunje.


Lakini pia ameelezea sababu zinazo pelekea wasanii wengi kuilalamikia mikataba, ni kutokuwa makini kwenye makubaliano ya mwanzo, mwisho wa siku msanii anakua, value yake inaongezeka zaidi lakini inaendelea kumbana sababu mkataba haubadiliki, upo vile vile toka ausaini akiwa underground hadi anapokuwa mkubwa. Hata kwa upande wake ameelezea kuwa kuna msanii alimtonya kuwa mikataba mikubwa ya Universal/Sony Music kwa Afrika ni majanga, na ndio maana akina Davido waliitema, ila isingekuwa rahisi kumuelewa msanii huyo kwa wakati ule, akijitazama katokea from nowhere hadi kwenye label kubwa duniani.


Mayunga alikuwa ni mshindi wa mashindano ya Airtel Trace Music Star March 30, 2015 na kupata nafasi ya kufanya ngoma na Akon, inayoitwa Please Don't Go lakini kusainiwa kwenye Record label ya Universal Music.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad