Mwanamuziki wa Kike Tokea Kenya, Avril Amkana Diamond Platnumz Katu Katu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki wa kike tokea Kenya, Avril bado ameendela kukanusha rumors za yeye kuwahi kutoka na Diamond huku akiweka wazi namna urafiki wao ulivyo.


Kwenye moja ya interview aliyo ifanya hivi karibuni nchini Kenya, Avril amedai Diamond ni rafiki bora kwake na huwa hawaongei ila ikitokea wamewasiliana, basi ni maongezi ya maana, kuna muda akitaka kutoa wimbo lazima amcheki Diamond, maana anayathamini sana mawazo yake na pia ana mchango mkubwa kwenye muziki wake.


Rumors za wawili hao kuwa wanadate zilianza tokea mwishoni mwa mwaka 2012, Avril alipo shiriki kwenye video ya KESHO ya kwake Diamond kama video vixen. Video hiyo imekuwa directed na Ogopa Videos tokea Kenya, na hadi sasa ina zaidi ya views milioni 3 YouTube.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad