Pacha Rehema aliyesalia kati ya Mapacha wawili waliotenganishwa July, 1,2022, amefariki dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Pacha Rehema aliyesalia kati ya Mapacha wawili waliotenganishwa July, 1,2022, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi, wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Rehema amefariki dunia siku 32 baadaye tangu kifo cha Pacha wake 'Neema' kilichotokea July 10,2022, Neema alifariki dunia baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa ICU. 

Kifo cha Rehema kimethibitishwa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano kwa umma, Muhimbili, Aminiel Aligaesha.
#MillardAyoUPDATES  
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad