Rais Samia Ateua Viongozi Wawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Eric Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL).


Kabla ya uteuzi huo, Hamissi alikuwa nje ya uteuzi baada ya kutenguliwa katika nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Julai 4, 2022.


Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus imesema uteuzi huo unaanza leo Alhamisi, Agosti 4, 2022.


Mbali na Hamisi mwingine aliyeteuliwa ni Stephen Kagaigai kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).


"Kagaigai anachukua nafasi ya Balozi Herbert Mrango ambaye amemaliza kipindi chake," imeeleza taarifa hiyo.


Kabla ya uteuzi huo, Kagaigai alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, kabla ya kuachwa Julai 28, 2022, katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa.


Aidha, Kagaigai amewahi kuwa Katibu wa Bunge la Tanzania

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad