Wapofuka Macho Kwa Kumwagilia Moyo Kwa Pombe ya Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Mchanganyiko wa pombe yenye sumu iliyoua watu 14 kaskazini-magharibi mwa Uganda imewaacha wengine wakiwa vipofu, daktari mmoja ameliambia gazeti la Daily Monitor la nchi hiyo.

Waathiriwa wote wanaaminika kutumia pombe kali iliyotengenezwa nchini humo inayoitwa City 5 Pineapple Flavored Gin mwishoni mwa juma katika wilaya ya Madi-Okollo.“

Hawa watu sasa wamepoteza uwezo wa kuona, baadhi yao kwa kiasi, huku wengine wakiwa vipofu kabisa. Kwa kiasi ina maana bado wanaweza kuwa na uwezo wa kuona lakini sio vizuri kama walivyokuwa hapo awali” alisema Dkt Onesmus Misoa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Arua.

Polisi wamewakamata watu wanne kutokana na tukio hilo huku mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza pombe hiyo akiwa mafichoni.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad