AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amber Lulu; ni mwanamama anayekiwasha kunako Bongo Fleva ambaye amechafua hali ya hewa baada ya kusema la moyoni kuhusu ishu ya yeye kama anaweza kudumu kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume asiyekuwa na pesa za kutosha.
Amber Lulu amesema; “Siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume asiyekuwa na pesa.
“Mimi ninahitaji kutunzwa na pia matunzo yangu yanahitaji pesa sana, sasa nitawezaje kudumu na mwanaume asiyekuwa na pesa?”
Ishu hiyo imesababisha Amber Lulu kushambuliwa na baadhi ya wanawake wenzake wakimtaka kutafuta pesa yake na kamwe asitegemee pesa za mwanaume.
Taarifa za ndani zinadai kwamba, Amber Lulu na baba wa mtoto wake aitwaye Emba Botion ambaye wamejaaliwa mtoto mmoja wa kike aitwaye Ariana, wameshaachana na chanzo ni mambo hayohayo ya jamaa kutokuwa na pesa hivyo mwanamama huyo akidai kuwa alikuwa mzigo kwake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK