Bodi ya Filamu nchini Kenya Yazifungia Filamu Zenye Maudhui ya Mapenzi ya Jinsia Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bodi ya Filamu nchini Kenya, The Kenya Film Classification Board (KFCB) imezifungia filamu zote nchini humo zenye maudhui ya mapenzi ya jinsia moja, (Ushoga/Usaganaji n.k) kama maudhui ambayo yapo kinyume na sheria za nchi.

Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Christopher Wambua akiwa kwenye moja ya kituo cha radio nchini humo alipokuwa akifanya Interview siku ya jana ijumaa September 23, alidai bodi itaendelea kufungia na kutoruhusu contents hizo nchini humo hata kama wanachuja filamu kulingana na umri wa watazamaji, lakini bado haiondoi kuwa kuna mambo sheria za nchi haziruhusu. Wambua pia amedai hilo haliishii kwenye Media za Kenya tu (Mainstream) wapo kwenye mazungumzo na mitandao inayotumika kuonyesha filamu kama Netflix, kuzuia Maudhui ya aina hiyo kuonekana nchini humo.

“I am Samuel ” ni moja ya filamu iliyokula nyundo hivi karibuni nchini humo ikiwa na maudhui ya aina hiyo.

NB: Picha zilizotumika ni waigizaji wa Kenya pamoja na CEO wa KFCB, hazihusiani moja kwa moja na taarifa ya utengenezaji wa maudhui ya mapenzi ya jinsia Moja.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad