AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwetu tupo watoto wanne watoto wawili ambao wakubwa zangu wao walibaki kwa Baba yao ila mimi na dada yangu tuliishi na mama ambapo tulikuwa tukikaa chumba kimoja na kwenye hicho chumba kilikuwa kilabu cha pombe.
Mama alikuwa akiuza pombe ndani ya chumba alichopanga na unakuta usiku wateja wa pombe wamekuja wanakunywa na sisi tupo ndani wadogo hivyo kama unavyojua walevi wengine wanazima hapo hapo asubuhi ikifika unaamka unajiandaa na kwenda shule.
SOMA PIA: Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo
Hatukuwa na hela ya kununua hata kitanda hivyo nikatengeneza kitanda cha mbao na ndiyo tukawa tunalala kwenye kitanda hicho kwani maisha yalikuwa magumu sana"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK