DJ Joozey "Mimi, Dada na Mama Yangu Tulikuwa Tunaishi Chumba Kimoja, Tulikuwa Tunalala na Walevi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Kwetu tupo watoto wanne watoto wawili ambao wakubwa zangu wao walibaki kwa Baba yao ila mimi na dada yangu tuliishi na mama ambapo tulikuwa tukikaa chumba kimoja na kwenye hicho chumba kilikuwa kilabu cha pombe.

Mama alikuwa akiuza pombe ndani ya chumba alichopanga na unakuta usiku wateja wa pombe wamekuja wanakunywa na sisi tupo ndani wadogo hivyo kama unavyojua walevi wengine wanazima hapo hapo asubuhi ikifika unaamka unajiandaa na kwenda shule.


Hatukuwa na hela ya kununua hata kitanda hivyo nikatengeneza kitanda cha mbao na ndiyo tukawa tunalala kwenye kitanda hicho kwani maisha yalikuwa magumu sana"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad