Haya Ndio Maamuzi Yanayotarajiwa Kutolea na Mahakama Kuu Kenya Uchaguzi wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya Majaji wa Mahakama Kuu kumaliza kusikiliza mashauri ya Pingamizi la Matokeo ya Urais pamoja na Utetezi, Septemba 5, 2022 wanaweza kutoa maamuzi yafuatayo:

Iwapo Mahakama itaona dosari kubwa zilizoathiri kwa kiasi kikubwa matokeo yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), inaweza kubatilisha Uchaguzi huo na kuagiza kupigwa Kura upya ndani ya siku 60 au kukosoa mchakato wa Uchaguzi na kusema dosari hizo hazistahili kubatilisha Matokeo

Iwapo itabaini kuwa Rais Mteule hakupata 50% pamoja na Kura 1 halali, itaamuru marudio ya Uchaguzi ambayo lazima yafanyike ndani ya siku 30. Na kama haitaona dosari yoyote ya msingi, itaidhinisha ushindi wa William Ruto na kuruhusu kuapishwa rasmi Septemba 13, 2022

Uamuzi wa Mahakama Kuu utaamuliwa kwa wingi wa Kura za Majaji na Mahakama hiyo ndiyo yenye Mamlaka ya juu, iliyoundwa chini ya Katiba ya Kenya ya 2010 ambapo Uamuzi wa hukumu hiyo ni wa mwisho, hauna rufaa na ni wa lazima

#KenyaDecides2022 #Democracy
#Jamii Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad