Laana ya Baba Yaendelea Kumtafuna Raila Odinga, Mahakama Yampiga Chini Urais Kenya, William Ruto Aidhinishwa Rasmi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Hatua hiyo imekuja baada ya Majaji 7 wa Mahakama ya Juu kusikiliza Pingamizi lililowekwa na #RailaOdinga aliyekuwa Mgombea wa Azimio la Umoja, na kusema hakuna ushahidi halali uliowasilishwa kuhusu kutofautiana kwa fomu namba 34A

Kwa Uamuzi huo, Rais Mteule, #WilliamRuto na Naibu wake, Rigathi Gachagua wataapishwa rasmi kushika Madaraka Septemba 13, 2022 kwa Mujibu wa #Katiba ya #Kenya

William Ruto anakuwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya akitokea katika nafasi ya Naibu Rais chini ya Serikali ya Uhuru Kenyatta anayemaliza muda wake.

#KenyaDecides2022 #Democracy #Accountability  
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad