AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo imekuja baada ya Majaji 7 wa Mahakama ya Juu kusikiliza Pingamizi lililowekwa na #RailaOdinga aliyekuwa Mgombea wa Azimio la Umoja, na kusema hakuna ushahidi halali uliowasilishwa kuhusu kutofautiana kwa fomu namba 34A
Kwa Uamuzi huo, Rais Mteule, #WilliamRuto na Naibu wake, Rigathi Gachagua wataapishwa rasmi kushika Madaraka Septemba 13, 2022 kwa Mujibu wa #Katiba ya #Kenya
William Ruto anakuwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya akitokea katika nafasi ya Naibu Rais chini ya Serikali ya Uhuru Kenyatta anayemaliza muda wake.
#KenyaDecides2022 #Democracy #Accountability
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK