AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mpango wa Simba kumtumia kocha mkuu, Juma Mgunda katika mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Nyasa Big Bullets nchini Malawi umekwama baada ya kocha huyo kutokuwa na cheti cha leseni A CAF licha ya kusomea kozi ya daraja hilo. Taarifa kutoka ndani ya Simba zinasema kocha wa Simba Queens, Sebastian Nkoma atatua Malawi kesho kwa ajili ya kuongoza benchi la timu hiyo katika mechi ya kwanza Septemba 10
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK