Mtangazaji Diva The Bawse "Nalipwa Mil. 10 kwa mwezi Mtangazaji Diva The Bawse"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Diva: Nalipwa Mil. 10 kwa mwezi
Mtangazaji Diva The Bawse amesema, kama asipotumia kwa fujo hela zake anazolipwa kama mshahara basi kwa mwezi anakunja si chini ya milioni kumi.

Diva ameyasema hayo mapema leo alipokuwa anafanya mahojiano na Global TV Online ambapo alizungumzia mapito yake hadi kuwa mtangazaji maarufu Bongo.

Diva alisema, kwenye safari yake hakuwahi kufikiria kufanya kazi ya utangazaji lakini ilitokea baada ya kumpeleka rafiki yake Clouds kupeleka barua ya field na ndipo alipoanza kujifunza na baadaye akawa mtangazaji mashuhuri.

Kuhusu mshahara anaolipwa kwa sasa Wasafi FM, Diva alisema anakunja fedha hizo na kwamba anamshukuru Diamond kwani alimwezesha kwa kila alichokihitaji tangu alipojiunga na redio hiyo.

“Nisipofanyafanhya hizi shopping, kwa mwezi naweza kuweka ndani milioni kumi na hizo ni za mshahara tu, bado matangazo yangu Instagram,” alisema Diva.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad