AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka kwenye Twitter ya Staa wa Muziki Kutoka Nchini Nigeria Ambae kwa sasa yupo Hapa Tanzania kwa Ajili ya Kutumbuiza Siku ya Tarehe 01, Octoba Kupitia Ukurasa wake wa Twitter Ameandika Ujumbe Huu...
"TANZANIA 🇹🇿 !!!! I’m here and i didn’t forget my bags . See you October 1st ❤️"
"Tanzania Nipo Hapa na Sijasahau Mabegi yangu,Tukutane Octoba 1 ❤️
Tunakumbuka Msanii Mwenzie kutoka Nchini Nigeria @kizzdaniel Alikutana na Misukosuko Baada ya kutua Tanzania na kushindwa kufanya Show kwa sababu ya Kusahau Mabegi yake ya nguo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK