Treni ya SGR Yalazimika Kupiga Breki za Ghafla Ili Kuepuka Kugonga Jamaa Aliyekuwa Akipiga Maraundi kwa Reli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kisanga kilishuhudiwa kwenye reli ya kisasa ya SGR kati ya Nairobi na Suswa baada ya mwanamume mmoja kuonekana akitembea kwenye reli hiyo.

Treni ya SGR Yalazimika Kupiga Breki za Ghafla Ili Kuepuka Kugonga Jamaa Aliyekuwa Akipiga Maraundi kwa Reli
Treni ya SGR ikiwa imebeba mashehena.
Katika video ambayo ilisambaa kwenye mtandao wa Twitter jioni ya Ijumaa, Septemba 16, treni hiyo ililazimika kusimama ghafla ili kuepuka kumgonga mwanamume huyo.

Katika video hiyo, wapiti njia walisikika wakisema kuwa hawajui jinsi mwanamume huyo alipofika eneo hilo lenye lililozingirwa na ua.

“Huyu si mfanyikazi. Hatujui alipandaje hapo, sisi tunamwona tu…na ni kama alilala hapo ndani. Jamaa alikuwa karibu asiagwe. Ni lazima ndege ikuje imtoe hapo,” mwanamke mmoja aliyeshuhudia kisa hicho anasikika akisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad