AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Mahakama ya Juu ikitarajiwa kutoa uamuzi wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu, leo Septemba 5, 2022 (Saa 6 Mchana) Rais Mteule, #WilliamRuto ameomba utulivu uendelee na kuwa yupo tayari kupokea matokeo yoyote ya kesi hiyo
-
Ushindi wake umepingwa na Mgombea Urais wa Azimio La Umoja One #Kenya, #RailaOdinga. Katika Uchaguzi huo, Ruto alishinda kwa kura 7,176,141 dhidi ya 6,942,930 za Odinga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK