William Ruto Afunguka "Nitaheshimu Maamuzi ya Mahakama Kuhusu Matokeo ya Uchaguzi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wakati Mahakama ya Juu ikitarajiwa kutoa uamuzi wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu, leo Septemba 5, 2022 (Saa 6 Mchana) Rais Mteule, #WilliamRuto ameomba utulivu uendelee na kuwa yupo tayari kupokea matokeo yoyote ya kesi hiyo

-

Ushindi wake umepingwa na Mgombea Urais wa Azimio La Umoja One #Kenya, #RailaOdinga. Katika Uchaguzi huo, Ruto alishinda kwa kura 7,176,141 dhidi ya 6,942,930 za Odinga.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad