Habari Njema...Pambano la Ngumi la Mwakinyo na Liam Smith Kurudiwa, Promota Hakuridhika na Maamuzi ya Refa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amethibitisha rasmi kuwepo kwa pambano lake la marudiano dhidi ya Liam Smith Januari 23, 2023 hii ni baada ya promota Benjamin Shalom wa pambano lake kutoridhishwa na maamuzi ya refa kwenye pambano hilo lililomalizika kwa utata.


"Kutokana na mchezo wa jana (juzi) na kitendo cha Refa kuwa unfair kwangu kimemlazimu Promoter Benjamin Shalom kutupa nafasi ya re-match na Liam January 23" - ameandika Mwakinyo kupitia ukurasa wake Instagram.


Itakumbukwa, usiku wa Jumamosi, Septemba 3, Mwakinyo alipoteza kwa TKO round ya 4 katika pambano lake lililochezwa jijini Liverpool, Uingereza.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad