AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Q Chief amefunguka kusema TID ni mshawishi mbaya (Bad Influencer) kwa sababu hata ukiingia kwenye gari lake unakuwa mzima lakini ukitoka unakuwa sio kijana kama uliyeingia.
Q Chief amesema hayo akizungumzia kuhusu bifu lake na TID kwa kusema hajui kwanini anamundama au labda kutokana na kipaji chake cha kuimba mziki.
Ikumbukwe wawili hao walikuwa wanaunda kundi moja la Top Band miaka kadhaa iliyopita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK