H Baba: Namuomba sana Alikiba awarudishe Cheed na Killy, Konde Gang wanapata shida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva @h.baba_ ameonyesha kutofurahishwa na namna @harmonize_tz anavyoendesha lebo yake ya Konde Gang.

@h.baba_ amemuomba @officialalikiba kuwarudisha @officialcheed na @officialkilly_tz ambao walikuwa wasanii wake na kudai kule hawalipwi.

@h.baba_ amesimulia namna @ibraah_tz anavyopitia wakati mgumu huku akienda mbali zaidi akisema kiki ya @ibraah_tz na @miriamodemba @harmonize_tz alimkatazaH Baba: Namuomba sana Alikiba awarudishe Cheed na Killy, Konde Gang wanapata shida

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad