Mgombea CCM ajinadi ananguvu za kiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mgombe huyo, Chris Madaha ametoa kauli hiyo jana Oktoba Mosi, 2022 wakati akiomba kura mbele ya wajumbe 1,344 walioshiriki mkutano huo katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma.

Madaha ambaye aliomba kura kupitia kundi la vijana, amesema amekamilika kwa sehemu zote na ana nguvu za aina mbili ambazo ni za kimwili na kiume.

“Ndugu wajumbe, mimi nimepewa namba mbili ambayo ni namba ya ushindi, lakini nina nguvu za aina mbili ambazo ni nguvu za kimwili na kiume, nipeni kura zetu,” amesema Madaha.

Kauli hiyo ilisababisha vicheko vya wajumbe na kusababisha zogo lakini waliponyamaza aliyarudia maneno yake mara mbili.

Msimamizi wa uchaguzi huo ambaye ni mkuu wa wilaya hiyo, Jabir Shekimweri alimuomba mgombea kipaza sauti na kumtaka akapumzike wakati watu wakiendelea kucheka.

Uchaguzi wa CCM wilaya ulihusisha nafasi ya mwenyekiti, wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa, mkutano wa mkoa na wajumbe wa halmashauri kupitia makundi ya wazazi, vijana na wanawake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad