AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jumatano hii, tarehe 30, wanamuziki Aika na Nahreel ambao wanaunda kundi la @navykenzoofficial wanaachia kolabo yao wakiwa na mwimbaji nyota toka Nigeria, Fireboy DML.
Wakali hao wanaofanya vizuri na smash hit yao "Manzese", hii inaenda kuwa ngoma yao ya pili kuachia mwaka huu. Kaa tayari kwa ujio huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK