Hamisa Mobetto "Nimeamua Kuishi Maisha Yangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hamisa Hassan Mobeto; ni mwanimitindo wa kimataifa na msanii wa muziki nchini Tanzania, ambaye anasema kuwa, katika maisha yake amechagua kuishi na siyo kukaa kama wengine wanavyoyachukulia maisha.


Mobeto anasema kuwa, kwa kufanya hivyo ndiyo maana hapati shida yoyote kutoka kwa waja wanaomzunguka kwenye maisha yake.


Akizungumza Mobeto anasema kuwa, anachopenda kwenye maisha yake ni kuishi bila stresi kabisa na ndiyo maana maisha yake yanasonga na madili yanazidi kuongeza kila kukicha kwa sababu moyoni ana furaha tele.


“Nimechagua kuishi maisha yangu mimi na si vinginevyo ndiyo maana kila kukicha sichuji na sichukii hata kidogo, maisha yangu ni mazuri kwa maana nina furaha moyoni mwangu na nina amani siku zote,” anasema Mobeto; mama wa watoto wawili mwenye madili kibao ya ubalozi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad