Kumekucha...Ndege Zagongana Angani Wakati wa Maonesho ya Kijeshi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ndege hizo mbili zilikuwa katika maonesho ya Kumbukumbu za Vita ya Pili ya Dunia (WWII), Jimbo la Dallas ambapo baada ya tukio hilo zilidondoka chini na kutokea mlipuko mkubwa huku Wananchi wakishuhudia

Haijawekwa wazi idadi ya waliokuwemo ndani ya ndege hizo aina ya Boeing B-17 Flying Fortress na Bell P-63 Kingcobra lakini taarifa za awali zinadai ni Watu sita

Matukio ya shoo hiyo yamekuwa yakikosolewa kwa miaka kadhaa, kwani mwaka 2011, Watu 11 walifariki eneo la Nevada baada ya ndege kuanguka kwa Watazamaji na Mwaka 2019 ndege ilipata ajali na kuua Watu kadhaa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad