Kimenuka...Wakenya Wahoji Cheo cha Mtoto wa Ruto Serikalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baadhi ya raia wa Kenya wamehoji nafasi ya Kimadaraka aliyonayo binti mkubwa wa Rais wa Kenya William Ruto ambaye anatajwa kukutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa Serikali iliyo chini ya baba yake huku akiwa hana cheo chochote serikalini kinachotambulika


Binti huyo ni Charlene Ruto ambapo Wakenya wanauliza ni Nani na ana Cheo gani Serikalini?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad