AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baadhi ya raia wa Kenya wamehoji nafasi ya Kimadaraka aliyonayo binti mkubwa wa Rais wa Kenya William Ruto ambaye anatajwa kukutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa Serikali iliyo chini ya baba yake huku akiwa hana cheo chochote serikalini kinachotambulika
Binti huyo ni Charlene Ruto ambapo Wakenya wanauliza ni Nani na ana Cheo gani Serikalini?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK