AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sare ya goli 1-1 ambayo Simba SC imeipata dhidi ya Singida Big Stars kwenye Uwanja wa Liti, leo Novemba 9, 2022 imeifanya timu hiyo kuendelea kubaki nafasi ya pili na kushindwa kuifikia Yanga ambayo inaongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara
Singida ambayo ina pointi 18 imepata goli lake kupitia kwa Deus Kaseke wakati Simba ilipata goli lake kupitia kwa Peter Banda
Simba imefikisha pointi 18 ikiwa imecheza Mechi 9 wakati Yanga ina pointi 20 katika Michezo 8
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK