Yanga Kuvuta Milioni 500 Kutoka CAF Baada ya Ushindi Tunisia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Yanga baada ya kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika itapata Dola za Kimarekani 275,000 zaidi ya Sh 500 milioni.

Yanga itapata mkwanja huo kutoka Shirikisho la soka Afrika (CAF) kama pesa ya sehemu ya maandalizi baada ya kutinga hatua ya makundi.

Yanga inaenda hatua ya makundi ya mashindano hayo baada ya kufanya hivyo mara ya mwisho 2018.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad