Harmonize Aomba Radhi Watanzania na Kufuta Wimbo wake wa Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Uongozi wa Konde Music Worldwide ya manamuziki Harmonize umeomba radhi kutokana na maudhui ya wimbo uliotolewa hivi karibuni na msanii huyo unaoitwa ‘Weed Language’ kwenda kinyume na sheria na tamaduni za nchi.

Lebo hiyo imedai kuwa lengo la kutoa wimbo huo lilikuwa kupanua na kukuza muziki wa nje ya mipaka ya nchi ya Tanzania.

Taarifa hiyo imetolewa leo katika ukurasa wa Instagram ya msanii huyo baada ya kuonekana katika picha akiwa na viongozi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hapo jana Desemba 7, 2022 huku akiahidi kutekeleza suala walilozungumza kama vijana.

Katika taarifa iliyotolewa leo imesema “kutokana na kadhia iliyosababishwa na maudhui ya wimbo huo, tunaomba radhi na tunaahidi kuuondoa wimbo huo kwenye mitandao yote ya kijamii.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad