Mshindi wa Promosheni ya Beti na Kitochi Meridianbet

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kila mmoja ana ndoto kubwa ya kumiliki vitu vizuri, lakini vikwazo vya Maisha na bajeti kubana hukwamisha ndoto ya wengi kumiliki vitu wanavyovitaka, kwa kulitambua hili kampuni ya Meridianbet waliamua kurahisha mipango yako, kwenye promosheni ya shinda TV ukibeti na kitochi.


Ilichukua siku kadhaa mpaka kumpata Bingwa wa kubeti na kitochi mwanafamilia wa Meridianbet anayejulikana kwa jina la Alex mkazi wa Jiji la Dar Es Salaam aliyejishindia TV mpya inch 55. Beti na kitochi ya Meridianbet inaendelea kutimiza ndoto ya kila mtu.



Kila mtu huwa ana yule mtu mmoja anayemuamini kwa kutoa taarifa za michongo, Alex kwa alipata taarifa ya promosheni hii ya Meridianbet kutoka kwa marafiki zake, hivyo marafiki ni muhimu Zaidi kwenye Maisha.


Unapotaka kufanya jambo huwa kuna sababu, hata bingwa wa kubeti na kitochi ni mpenzi wa michezo na hiyo ilimfanya yeye kubeti meridianbet, alienda mbali Zaidi na kusema siku ya kwanza alishinda, na wewe una nafasi ya kushinda jaribu bahati yako meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri pia wana kasino mtandaoni.


Vuta picha unapigiwa simu na kupewa habari njema, huwa unakuwa kwenye hali gani, na je pale unapokabidhiwa jambo lako? Alex anasema kuwa promosheni ya beti na kitochi imempatia TV kubwa ambayo hakuwa kuwaza ni lini ataipata, lakini kwa dau lake dogo tu la kuanzia TZS 250/= limetimiza ndoto yake.


“TV hii itasaidia familia yangu, ukizingatia kombe la dunia linaendelea hivyo nitakuwa nangalia mechi nyingi kwa raha na ubora Zaidi, nawashukuru Meridianbet kwa zawadi hii kubwa kwenye Maisha yangu”- Mshindi wa promosheni ya beti kitochi- shinda TV 



Moja ya sababu ya Bingwa huyu kuwa mwanafamilia ya Meridianbet ni uwezo wa kurudisha dau lako uliloweka “Cash Out/ Turbo” kama unaona mkeka wako upo kwenye hali mbaya ya kuchanika.


“Kujaribu sio kitu kibaya kila mtu ana nafasi ya kubashiri meridianbet na kushinda, ukiangalia kama nchi yetu kuna ile kitu kupotosha, hakuna kitu kibaya hususani kubeti kwa malengo sio tatizo”



“Watu wanapaswa kubeti kupitia Meridianbet, kwani mimi nimeshawahi kubashiri na kampuni nyingi, lakini kampuni ya meridianbet wako vizuri ina machaguo mengi sana ya kubeti, kitu ninachokipenda ni ule uwezo wa kurejesha hela yako ‘Turbo’ pindi unapoona mechi haiendi vizuri una nafasi ya kuchukua pesa yako hata kwa kiasi kidogo”- Alex


Hii hapa nyingine usikubali ikupite, mwezi Disemba ni mwezi wa kufurahi, hivyo kuifanya siku yako iende poa, Meridianbet wanakuletea promosheni ya SAKA MBUZI NA KITOCHI, Ukibeti bila bando kwa dau la kuanzia TZS 1,000/= Promosheni hii itadumu kwa mwezi huu wa Disemba tu. Piga *149*10# kubeti sasa.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad