Anjella Aanza Kuingia Studio Baada ya Kuachana na Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Aliyekuwa msanii wa Lebo ya Konde Gang, Anjella ameanza rasmi kuingia studio baada ya kuachana na lebo hiyo.


Anjella aliiaga rasmi lebo hiyo Januari 2,2023 kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Mbali na hivyo, mpaka sasa uongozi wa Lebo ya Konde Gang haujatoa tamko lolote licha ya CEO wa lebo hiyo Harmonize kum-Unfollow katika ukurasa wake wa Instagram.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad