AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa msanii wa Lebo ya Konde Gang, Anjella ameanza rasmi kuingia studio baada ya kuachana na lebo hiyo.
Anjella aliiaga rasmi lebo hiyo Januari 2,2023 kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Mbali na hivyo, mpaka sasa uongozi wa Lebo ya Konde Gang haujatoa tamko lolote licha ya CEO wa lebo hiyo Harmonize kum-Unfollow katika ukurasa wake wa Instagram.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK