AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkazi wa Mtaa wa Mlimani 'A' Wilayani Ilemela, Mohammed Khatibu (29) anadaiwa kuvunjwa miguu na Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke aliyekuwa akimtuhumu kuwa na Uhusiano na Mke wake
Inaelezwa Khatibu alikamatwa Januari 3, 2023 na Askari huyo kwa kushirikiana na rafiki yake, wakitumia Gari binafsi bila kumweleza kosa lake. Walisema wanampeleka Kituo cha Polisi Kirumba na badala yake alipelekwa Kiseke ambapo alipigwa
Mama wa Khatibu amesema baada ya kumkosa Mwanaye Kituo cha Kirumba, walipata fununu yupo Kituo cha Kiseke lakini nako waliambiwa hayupo. Hata hivyo alizunguka nyuma ya Mahabusu na kuita Jina la Mwanaye, ambapo aliitikia akiwa Mahabusu humo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK