Aliyemchafua Alikiba Mtandaoni Aomba Msamaha, Niliongea Uongo Walinipanga cha Kuongea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Dada anayejulikana kwa jina la #Lulu amemuomba @officialalikiba msamaha baada ya kumchafua mtandaoni.


Akifanyiwa mahojiano na moja ya online media Lulu alieleza kuwa yeye ndio aliyempaka @officialalikiba Make Up na @officialalikiba alimlipa elfu ishirini.


Lulu aliongeza kuwa @officialalikiba ni bahili na hana hela ya kumlipa ndio maana alimpaka make Up vibaya.


Akiongea na @el_mando_tz lulu amesema kuwa aliyoongea yote ni uongo na hajawahi kuoanana na @officialalikiba na maneno aliyoongea alipangwa na waliomhoji.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad