AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dada anayejulikana kwa jina la #Lulu amemuomba @officialalikiba msamaha baada ya kumchafua mtandaoni.
Akifanyiwa mahojiano na moja ya online media Lulu alieleza kuwa yeye ndio aliyempaka @officialalikiba Make Up na @officialalikiba alimlipa elfu ishirini.
Lulu aliongeza kuwa @officialalikiba ni bahili na hana hela ya kumlipa ndio maana alimpaka make Up vibaya.
Akiongea na @el_mando_tz lulu amesema kuwa aliyoongea yote ni uongo na hajawahi kuoanana na @officialalikiba na maneno aliyoongea alipangwa na waliomhoji.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK