AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ROSA REE; ni rapa mkali wa kike Bongo ambaye amefunguka kwa mara nyingine kuhusu ishu ya kusainiwa kwenye lebo ya rapa mkubwa wa Marekani, Rick Ross iitwayo Maybach Music Group
“Mambo ni mazuri kwa sababu tunawasiliana, tunaongea na huwezi kujua yajayo yanaweza kuwa ni makubwa sana, sitaki kufichua chochote napenda mfahamu ni kitu gani kitakuwepo huko mbele pindi tutakapokuwa tayari, Bado tuna maongezi tukifikia Muafaka nitawajulisha” anasema Rosa Ree.
Mwaka jana Rick Ross au Madevu, akiwa kwenye ziara ya kimuziki barani Afrika aliweka wazi kuvutiwa na wasanii watatu barani humo na mmojawao akiwa ni Rosa Ree kutoka Tanzania
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK