Ligi Kuu Tanzania Bara ya Tano Kwa Ubora Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ligi Kuu Tanzania Bara imetajwa kuwa ya tano (5) kwa Ubora Barani Afrika na ya 39 Duniani, hii ni kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) kwa mwaka 2022.

1). Misri

2). Algeria

3). Morocco

4). Sudan

5). Tanzania

Ligi hiyo imepanda kutoka nafasi 10 Afrika na ya 62 duniani kwa mwaka 2021.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad