AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ligi Kuu Tanzania Bara imetajwa kuwa ya tano (5) kwa Ubora Barani Afrika na ya 39 Duniani, hii ni kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) kwa mwaka 2022.
1). Misri
2). Algeria
3). Morocco
4). Sudan
5). Tanzania
Ligi hiyo imepanda kutoka nafasi 10 Afrika na ya 62 duniani kwa mwaka 2021.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK