AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa @wakazi ambaye bado yupo nchini Marekani, mwishoni mwa wikiendi alihudhuria show ya Mbosso huko Houston na aliweza kukutana na @babutale ambaye ni mmoja wa mameneja wa WCB.
Wakazi ambaye yupo mbioni kuachia album yake mpya iitwayo #BEBERU amtahadharisha Tale kwamba mwaka huu anauteka wala hakuna msanii wake (WCB) atakae fikia kile anachoenda kufanya mwaka huu.
Pia amemtaja Tale kwamba kesho hajui atavaa kofia gani kwani kwenye show hiyo ya Mbosso alikuwa ndio DJ.
"Huyu jamaa acheni tu apewe udokta, jana alikuwa DJ wa shughuli 🤣😄 Hatujui kesho atavaa kofia gani. Watu Wa Mlogolo kweli Mbunge mmepata… Lol. Hapa nilikuwa nampasha juu ya Ujio wa BEBERU" - ameeleza Wakazi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK