FIFA na Mfumo Mpya wa World Cup 2026

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mfumo mpya wa Kombe la Dunia utakao anza kutumika mwaka 2026 kwa mujibu wa Shisrikisho la soka Duniani FIFA


▪️ Mechi 104

▪️ Timu 48

▪️ Makundi 12

▪️ Timu itacheza mechi nane (8) mpaka kushinda Ubingwa

▪️ Timu mbili (2) za juu kutoka kila kundi na timu nane (8) bora zitakazoshika nafasi ya tatu zitasonga mbele katika hatua ya 32 kwaajili ya mtoano.

Mnweyeji wa Kombe la Dunia 2026 atakuwa Marekani akishirikiana na Canada na Mexico.

Itakuwa michuano ya kwanza kutumia mfumo huo mpya wenye jumla ya timu 48, Fainali zake zitapigwa Julai 19.

Imeandikwa na @fumo255

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad