Lema "Vijana Mnaoendesha Boda Boda Miaka 20 Ijayo Wote Mtakuwa Mmekufa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini (#CHADEMA), Godbless Lema amesema, "Ukiona Dereva Bodaboda wameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka. Hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini kama ya Bodaboda"


Akizungumza katika eneo la Dampo Jijini #Mwanza kwenye mkutano wa hadhara ameongeza, "Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa. Mtaumwa Vifua, Viuno, Migongo na wengine mtakuwa Vipofu kutokana na upepo"

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad