Ticker

6/recent/ticker-posts

Lema "Vijana Mnaoendesha Boda Boda Miaka 20 Ijayo Wote Mtakuwa Mmekufa"

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA

 


Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini (#CHADEMA), Godbless Lema amesema, "Ukiona Dereva Bodaboda wameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka. Hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini kama ya Bodaboda"


Akizungumza katika eneo la Dampo Jijini #Mwanza kwenye mkutano wa hadhara ameongeza, "Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa. Mtaumwa Vifua, Viuno, Migongo na wengine mtakuwa Vipofu kutokana na upepo"

Post a Comment

0 Comments