Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatoa Tahadhari Mvua Kubwa Kunyesha Leo Tarehe 21 March 2023

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa kesho Jumanne March 21,2023 katika maeneo mengi ya Mikoa ya Dar es salaam, Pwani (ikihusisha Visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara.

Athari zinazoweza kujitokeza ni baadhi ya Makazi kujaa maji pamoja na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi “Tafadhali zingatia na ujiandae”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad