Mange Kimambi Amshukia Mke wa Mojay "Yule Dada Kuna Siku Yatamkuta Hana Akili Hata Kidogo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ameandika Mange Kimambi:

Eti Moj hakumpiga mtoto? Asingempiga mtoto, mtoto angechukuliwa na ustawi wa jamii mpaka leo hii? Kesi iko mahakamani mpaka sasa hivi bado mahakamani inajaribu kuamua mtoto aende wapi.
.
Ingekuwa mtoto kadondoka tu akaumia angechukuliwa na serikali?? Mtoto kaondolewa kwenye nyumba ya Moj.
.
Mke wa Moj hana akili hata moja.
.
Alafu anapigana vita za Moj why? Anyways, nawahakikishia yule dada kuna siku yatamkuta tu, jasiri haachi asili. Na sio kwamba hayajamkuta tayari. Yashamkuta mengi tu ila ni vile yule ni wale wanawake wakiTnzania wanaaoona ndoa ni muhimu kuliko kitu chochote duniani. Mwanamke ana paka hina anashindwa kulipa, madeni kila kona.
.
Mmeshindwa vita na Giggy we na mmeo ndo maana mkakimbilia polisi. Mnamchokonoaga Giggy wenyewe this time kawakalieni kooni mmekimbia polisi? We na mmeo wote masnitchi. Si mlikuwa mnachambana na Gigy siku zote sasa leo imekuwaje mkakimbilia polisi? Ukiona unachambana na mtu muda mrefu then suddenly unakimbilia polisi it means umemuogoa na vita umeshindwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad