Nyomi la CHADEMA mapokezi ya Lema usipime!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka maeneo mbalimbali nchini, wamewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya mapokezi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Godbless Lema ambaye anatoka nchini Canada.


Lema anatarajiwa kushuka KIA saa 7:10 mchana na Ndege ya Shirika la Ethiopian anawasili nchini baada ya kuwa uhamishoni nchini Canada kwa takriban miaka mitatu.


Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini tayari wamewasili KIA, ambapo pia amewasili Askofu Emmanuel Mwamakula, Sheikh Rajabu Katiba na Mhadhiri maarufu wa vyuo vikuu kadhaa Dk Exavery Rweitama.


Pia wapo waliokuwa wabunge wa majimbo mbalimbali Kanda ya Kaskazini wamewasili, viongozi wa Chadema katika nafasi mbalimbali Mkoa Kilimanjaro na Arusha.


Hata hivyo, polisi wameimarisha ulinzi uwanjani hapo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad