AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ronaldo jana ameweka rekodi ya kuwa mchezaji aliyecheza michezo mingi ya timu ya Taifa ( 197) na kuivunja rekodi ya mshambuliaji wa zamani wa Kuwait Bader Al-Mutawa ya michezo 196, pamoja na rekodi hiyo @cristiano hapo jana alifunga mabao 2 wakati Ureno ikiifunga Liechtenstein mabao 4-0 na kufikisha jumla ya mabao 120.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK